18/08/2026
Nyota wengi wa soka la Tanzania wamempongeza gwiji la Soka, Jonas Mkude 'Nungunungu' Kwa kujiunga na Mashujaa FC wana Mapigo na Mwendo.
Baadhi ya nyota hao ni Nickson Kibabage, Dickson Job, Kibwana Shomari, Simon Msuva, John Bocco na Denis Nkane.
17/08/2026
Link ya video ipo kwenye comment
17/08/2026
Timu ya wanawake ya Malawi inaonekana k**a ya wanaume ya wanaume itakuwaje! 🤔
17/08/2026
Klabu ya Mashujaa FC, wana Mapigo na Mwendo wamemtambulisha George Mpole kwamba atakuwa sehemu ya Kikosi chao cha kuwatumikia Watanganyika.
#𝗡𝗕𝗖𝗣𝗿𝗲𝗺𝗶𝗲𝗿𝗟𝗲𝗮𝗴𝘂𝗲
16/08/2026
Rank za ligi barani Afrika. NBC Premier League ipo nafasi ya 6 alama 5 nyuma ya aliye nafasi ya 3.
16/08/2026
Kikosi cha Mnyama Simba dhidi ya Kagera Sugar leo 16/08/2026.
Tabiri matokeo 👇