BOOM TV

BOOM TV

Share

🎬 Boom Swahili || Sports, News & Documentaries📽️
🌟 Bringing you the best in Entertainment Stories!
👉 Join the fun and stay updated! 💥

Photos from BOOM TV's post 04/07/2026

DUNIA NZIMA INAMTUKANA Fabrizio Romano

Iko Hivi,

Wakati mechi ikiwa dakika ya 80+, Mwandisho Nguli wa michezo Fabrizio Roman ali-post akisema mechi ya Canada na Morocco imemalizika kwa matokeo ya 0-2.

Kitendo hicho kilizua maswali mengi mtandaoni juu ya weledi wa mwandishi ho ambaye amekuwa na tabia ya kuposti matokeo ya mwisho "FullTime" hata kabla ya mchezo kuisha.

Hata hivyo leo, ilikuwa siku mbaya kazini, Kwani katika dakika Nane za Nyongeza Morocco walipata goli la tatu na hivyo mchezo kumalizika kwa 3-0 badala ya 2-0 aliyoandika yeye.

Licha ya baadaye kufuta post ile, lakini Dunia haijafuta na bado inamjadili kwa kitengo hicho cha kushangaza.

Lets Respect Football

Photos from BOOM TV's post 04/07/2026

Kiungo Mshambuliaji wa Girona, Azzedine Ounahi anaitanguliza Morocco, Asisti kutoka kwa beki bora Duniani Achraf Hakimi.

Morocco Wanaipeperusha Vyema Bendera ya Afrika

No Saibari?, No Problem!

Photos from BOOM TV's post 04/07/2026

HABARI MBAYA KWA AFRIKA
Staa wa timu ya taifa ya Morocco Ismael Saibari ameshindwa kuendelea na mchezo baada ya kupata "Jeraha la Misuli ya Nyuma ya Paja" katika mchezo dhidi ya Canada.

Jeraha la aina hiyo husababishwa na Kukimbia Kwa Kasi, Kuruka ama Kusimama Gafla baada ya kukimbia kwa muda.

Saibari atafanyiwa vipimo zaidi ili kuona jeraha lake lipo kwenye kiwango gani na muda atakao kaa nje;

Grade 1 (Mild) - Wiki 1-3
Grade 2 (Partial Tear) - Wiki 3-8
Grade 3 (Complete Rupture) - Hatua hii Huhitaji Upasuaji na hivyo kuwa nje Miezi 3-6

Mchezaji huyo mpya wa Bayern Munich amekuwa kwenye kiwango kizuri kwenye michuanio ya Kombe la Dunia akifunga;

⚽️🇧🇷 Goli vs Brazil
⚽️🏴󠁧󠁢󠁳󠁣󠁴󠁿 Goli vs Scotland
⚽️🇭🇹 Goli vs Haiti
⚽️🇳🇱 Penati ya Ushindi vs Netherlands

05/06/2026

FURUSHI LA PESA KUMG'OA OLISE: Vita Mpya ya Madrid na Bayern

Real Madrid C.F. imeweka mezani mpunga mrefu, Euro milioni 150 Ili kumsajili winga tishio wa FC Bayern München

Rais wa Madrid amesema "piga ua lazima Mfaransa huyo atue kikosini"

Ikumbukwe Kuwa mwezi uliopita Rais wa Bayern alisema "Michael Hauzwi hata kwa Euro Milioni 200"

Hii ni Vita ya PESA na Heshima, Je Nani atashinda Vita hii?

Tuandikie kwenye Comment

30/05/2026

Kwenye timu yako una Clatous Chama na Allan Okello Nani Aanze kwenye Mechi Ngumu ya maamuzi?

Nani Aanze na Nani Akae Benchi?

13/05/2026

Hii move lilistahili Kuwa Goli halali au Siyo Halali?

13/05/2026
13/05/2026
09/05/2026

ALLAN OKELLO Anawatanguliza Yanga SC Kwenye Uwanja Wa KMC.

09/05/2026

K**A WEWE NI YANGA SC, LIKE HAPA

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Website

Address

Dar Es Salaam