Halisi Max

Halisi Max

Share

Updates 24 Hrs

12/07/2026

Habari Kubwa 😳❤️❤️
Mdogo wa Mchezaji Lamine amal ametajwa kuwa shabiki mkubwa zaidi wa Hispania baada ya furaha yake wakati Hispania ilipofunga bao kuwa ya kushangaza sana. Alishangilia kwa nguvu kwanamna kwamba ni mtu mzima kabisa.
Lamine alipomuona alicheka tu.

Lamine anampenda sana mdogo wake na mara nyingi huambatana naye kila sehemu. Mtoto huyo ana umri wa miaka minne tu, lakini tayari ameanza kuipenda soka kwa sababu ya kaka yake.

Lamine alitabasamu akijua kuwa amefanikiwa kuifanya familia yake na nchi yake kuwa na furaha ❤️
Funzo
Tunahitaji kuwa na mtu mmoja atakayefungua milango kwa ajili yetu na kuipeleka familia yetu mbali

$+ #-¢^°π¢

12/07/2026

Mwanasiasa na Mwanaharakati Yericko Nyerere amemtaka Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, Ndg. John Heche, kwanza kurejesha fedha za michango aliyodai kupokea kutoka kwa wadau kabla ya wananchi kuendelea kutoa michango mingine.

Kauli hiyo imekuja baada ya John Heche kuzungumza na Watanzania jioni ya tarehe 11 Julai 2026 akiwa nyumbani kwake Tarime Mjini, ambapo aliwashukuru wananchi kwa simu na jumbe za pole walizomtumia, huku akiwaomba wale wanaotaka kutuma michango kuituma kupitia akaunti ya CHADEMA badala ya kupitia akaunti yake binafsi.

Kupitia ujumbe wake aliouchapisha kupitia Ukurasa wake, Yericko Nyerere aliandika:
"Arudishe kwanza mabilioni ya michango ya wadau aliyopokea kwa akaunti yake akala, ndipo watu watachanga."Ameandika

12/07/2026

Diwani wa kata ya Kariakoo Haji Manara Aonyesha Balaa kwenye Birthday ya Mama Dangote Ampa zawadi ya Birthday Shilingi milioni 40.

12/07/2026

Argentina Inaweza kuwashangaza watu ikachukua world cup Back 2 Back

12/07/2026

Nani Kutinga Fainali kati ya England dhidi ya Argentina.

12/07/2026

Mbunge wa Kigoma Mjini Babalevo alivyomuuloza Designer wa Diamond Platnumz Noel Giot k**a Ana Demu ama.ana Mke.

12/07/2026

120' Switzerland walijaribu kuisumbia Mahak**a
Argentina 3-1 Switzerland

12/07/2026

112' Goaaaaal Alvarez anaweka Kamba ya Pili
Argentina 2-1 Switzerland

12/07/2026

90' Argentina Leo Performance ipo chini sana Yani Switzerland wapo pungufu

12/07/2026

72' Embolo ameonyeshwa kadi ya njano ya pili kwa Kudanganya kuchezewa faulo Switzerland wanacheza pungufu

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Website

Address

Mbezi
Dar Es Salaam