12/07/2026
Habari Kubwa 😳❤️❤️
Mdogo wa Mchezaji Lamine amal ametajwa kuwa shabiki mkubwa zaidi wa Hispania baada ya furaha yake wakati Hispania ilipofunga bao kuwa ya kushangaza sana. Alishangilia kwa nguvu kwanamna kwamba ni mtu mzima kabisa.
Lamine alipomuona alicheka tu.
Lamine anampenda sana mdogo wake na mara nyingi huambatana naye kila sehemu. Mtoto huyo ana umri wa miaka minne tu, lakini tayari ameanza kuipenda soka kwa sababu ya kaka yake.
Lamine alitabasamu akijua kuwa amefanikiwa kuifanya familia yake na nchi yake kuwa na furaha ❤️
Funzo
Tunahitaji kuwa na mtu mmoja atakayefungua milango kwa ajili yetu na kuipeleka familia yetu mbali
$+ #-¢^°π¢
12/07/2026
Mwanasiasa na Mwanaharakati Yericko Nyerere amemtaka Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, Ndg. John Heche, kwanza kurejesha fedha za michango aliyodai kupokea kutoka kwa wadau kabla ya wananchi kuendelea kutoa michango mingine.
Kauli hiyo imekuja baada ya John Heche kuzungumza na Watanzania jioni ya tarehe 11 Julai 2026 akiwa nyumbani kwake Tarime Mjini, ambapo aliwashukuru wananchi kwa simu na jumbe za pole walizomtumia, huku akiwaomba wale wanaotaka kutuma michango kuituma kupitia akaunti ya CHADEMA badala ya kupitia akaunti yake binafsi.
Kupitia ujumbe wake aliouchapisha kupitia Ukurasa wake, Yericko Nyerere aliandika:
"Arudishe kwanza mabilioni ya michango ya wadau aliyopokea kwa akaunti yake akala, ndipo watu watachanga."Ameandika
12/07/2026
Argentina Inaweza kuwashangaza watu ikachukua world cup Back 2 Back
12/07/2026
Nani Kutinga Fainali kati ya England dhidi ya Argentina.
12/07/2026
120' Switzerland walijaribu kuisumbia Mahak**a
Argentina 3-1 Switzerland
12/07/2026
112' Goaaaaal Alvarez anaweka Kamba ya Pili
Argentina 2-1 Switzerland
12/07/2026
90' Argentina Leo Performance ipo chini sana Yani Switzerland wapo pungufu
12/07/2026
72' Embolo ameonyeshwa kadi ya njano ya pili kwa Kudanganya kuchezewa faulo Switzerland wanacheza pungufu