DJUMA TV
Ukurasa rasimi wa DJUMA TV karibu tupashane Habari Mbali Mbali | Kwa Matukio na Taarifa tupigie +255 684 692 584 #HiiniyakilaMmoja
Neno Moja kwa Kipenzi cha Mashabiki wa Simbasc
Kwa Mahitaji ya Vifaa ya Stationary na kwenye Taasisi mbali mbali waone Viab Tech wanauza vifaa bora kutoka kampuni ya Canon
HALMASHAURI KUU YA CCM YAMFUTA
UANACHAMA EMMANUEL NCHIMBI
Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi, iliyoketi leo tarehe 26 Agosti 2026 jijini Dar es Salaam, ikiongozwa na Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kauli moja imeazimia kumfuta uanachama Ndugu Emmanuel Nchimbi.
Vamuzi huo umefikiwa kutokana na makosa ya kinidhamu
yanayokiuka Katiba, Kanuni na Miongozo ya Chama cha Mapinduzi.
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Jeshi la Wanamaji la Marekani limefanikiwa kuondoa au kulipua mabomu yote ya baharini yaliyokuwa katika maji ya kimataifa ya Mlango Bahari wa Hormuz.
Trump alitoa kauli hiyo kupitia mtandao wake wa Truth Social, akisema amepokea taarifa kutoka kwa Jeshi la Wanamaji kuhusu kukamilika kwa zoezi hilo...
🎙️: Abdulkadri Maingule
Always Follow Us Now DJUMA MEDIA TZ
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam