Mchungaji Peter Gidion amewahamasisha waumini na Watanzania kwa ujumla kuungana katika maombi ya kuiombea amani nchi yetu.
Maombi hayo maalum yatafanyika tarehe 10, yakilenga kuombea amani, umoja na ustawi wa taifa. Waumini wote wamealikwa kushiriki kwa imani na moyo mmoja.
DJUMA TV
Ukurasa rasimi wa DJUMA TV karibu tupashane Habari Mbali Mbali | Kwa Matukio na Taarifa tupigie +255 684 692 584 #HiiniyakilaMmoja
Katika Hali isiyo ya kawaida Mashabiki wa Simbasc wamerusha mawe Jangwani wakisindikiza Parade la Ubingwa la Simbasc
Kombe lakufanyia PAREDI ni Moja tu ni Kombe la NBC Maana hili ndio limewabeba wote lakini pia Leo nimeshuhudia fainal Mbovu na refa mbovu kuwahi kutokea Azam fc wamenyongwa
“Tanzania tunamarefa wabovu wabovu wabovu wanatushinda hata Kenya angalieni Marefa kutoka Afcon angalieni marefa kutoka Fifa”
Msanii na Star 🌟 Diamond Platnumz akitumbuiza kwenye shoo yake Usiku wa RETRO TOUR Arusha
Mmiliki wa Azam fc akizungumza baada ya Azam fc kukosa Ubingwa dhidi ya Simbasc
Mimi ndiye Mmiliki wa Azam fc nimechoka Niko tayari kupamabana na marefa ndani ya PICHI na Niko Tayari Tff wanifute kwenye Ligi nitapeleka Timu yangu kwenye Ligi ya Zanzibar
M***I MKUU AHIMIZA UMOJA NA UCHUMI WA KIISLAMU
M***i Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir bin Ally, amewataka waumini wa dini ya Kiislamu kuepuka migogoro na migawanyiko ndani ya Uislamu, huku wakitambua na kutumia fursa za kiuchumi zinazopatikana kupitia mafundisho ya dini hiyo kwa maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla.
M***i Mkuu amesema hayo leo, Julai 4, 2026, wakati wa uzinduzi wa kongamano la kuadhimisha Mwaka Mpya wa Kiislamu 1448 Hijria lililofanyika katika ukumbi wa Negevera Hall, jijini Tanga.
Amesema kuwa umoja, mshikamano na kujenga uchumi imara kwa kuzingatia misingi ya Kiislamu ni miongoni mwa mambo muhimu yatakayosaidia kuimarisha maendeleo ya waumini na kuendeleza amani nchini.
Kisa UBINGWA wa CRDB Cup Mashabiki wa Simbasc Waliokuwa wamejitokeza Makao Makuu ya Simbasc kutazama Fainal hiyo wamefunga njia baada yakubeba kombe ni shangwe tu linaendelea
Hivi ndivyo Azam fc walivyojifunga nakuwapa Simbasc Ushindi wa kuongoza Simbasc 1-0 Azam Fc
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam