13/08/2026
Enjoπππ
vijana wame furahi hasa baada ya kumkanda my wetuππ
ππππππππ πππ
πππππ
πππππππ
Mwanayangaofflcial
13/08/2026
Mmeamka salama au Bado mmelala ππππΏ
13/08/2026
Chairman Murtaza Mangungu.
Steve Champion
12/08/2026
Mpemba Uyo Hapo Anarudi Zake Tanzania Ngoja Tuone Atasaini Timu Ganiπ€ Bado Siku 3 Dirisha La Usajili Lifungwe
12/08/2026
π¨ JAYRUTT & MO DEWJ
Hizi story zitanoga pale tukizisema huku Feisal amevaa u*i wa Simba au akiwa tayari kwenye kikosi cha Simba wengi wataamini hapo
Ila Mhaya alidhamiria kitu ukiona kasema ujue hilo limeisha, japo wamepunguza kasi ila lengo la kuweka challenge ya jezi ni kuweka mauzo yawe vizuri na ujio wa Feisal ulete faida pia kwenye jezi
Challenge imeletwa baada ya kua na uhakika kua Feisal anakuja Simba na kila kitu kipo sawa, hawezi kuwachosha watu wanunue jezi harafu wasimuone mchezaji
Mlionunua na mnaoendelea kununua jueni kua Jayrutt sio tapeli akisema anamaanisha Feisal ni Mnyama π΄βͺπ¦
12/08/2026
ISMAIL MGUNDA AANZA SAFARI YA DAR
π¨ Ismail Mgunda ameondoka kwenye kambi ya Mashujaa jijini Tanga na kuanza safari kuelekea Dar es Salaam.
Mashujaa wamempa ruhusa baada ya Simba SC kukamilisha malipo yaliyokuwa yakihitajika. Mgunda sasa yupo njiani kuelekea Dar. π΄βͺ