Norbert Hongoli

Norbert Hongoli

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Norbert Hongoli, Sports, Karatu, Arusha.

PM Lumen Radio
Football Announcers
Sports Pundit
General Coordinator TFF/TPLB
Media Officer ARFA
FIFA Grassroots & CAF Diploma D
Fahari ya soka la mtaa
Njombe Finest
Mc Hongoli

Photos from Norbert Hongoli's post 11/07/2026

PROJECT TODAY

💍Godson & Sia Wedding
🎤Mc Hongoli
🎶 Dj Weel
🔊 Aman Sound
🏟️Sumawe Complex

Leo ni siku nzur ya maharusi wangu Godson na Sia wanaokwenda kuianza safari yao mpya ya maisha,watu wangu wa Karatu K**a umealikwa kwenye hii sherehe usipange kukosa kabisa ni mambo matatu tuu Kula,Kunywa na kucheza.

09/07/2026

🚨TRANSFER UPDATE| Klabu ya Yanga imefanikiwa kukamilisha usajili wa beki wa kati kutoka TRA United Nasiri Kombo kwa kandarasi ya miaka Miwili,Kombo alikuwa na msimu mzuri akiwa na TRA alifanikiwa kutwa tuzo ya mchezaji bora zaidi ya mara 5 kwa msimu wa 2025/26.

04/07/2026

Baada ya kipindi kirefu kuwa na ukame wa makombe ndani Simba hatimaye Kocha Steven Barker amelifanikisha hilo ndani ya Simba hongera baada ya kufanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Azam Fc

01/07/2026

Picha na mfungaji bora wa ligi kuu ya Nbc msimu wa 2025/26 Mossi Nduwumwe kutoka Singida Black Stars akiwa na magoli 17,kaweka rekodi msimu huu pia kafunga Hat-trick mbili dhidi ya Dodoma na Fountain

30/06/2026

LAST DANCE ni heshima kubwa kwangu kuaminiwa tena na bodi ya ligi kuu kuratibu (Gc) mchezo wa mwisho wa ligi kuu kati ya Fountain Gate dhidi ya Singida Black Stars utakaopigwa katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha MUNGU,JUHUDI & NIDHAMU.

Photos from Norbert Hongoli's post 24/06/2026

Siku nyingine tena kazini imani kutoka bodi ya ligi kuu nakupewa Jukumu la kuratibu mchezo wa ligi kuu kati TRA United dhidi ya Coastal Union watoto wa Tanga mchezo utakaochezwa leo majira ya saa 10:00 jioni katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid.

Photos from Norbert Hongoli's post 21/06/2026

Kwa mara ya kwanza leo nimesali katika Kanisa la kiinjili la kilutheri Tanzania Dayosisi ya Meru Usharika wa Imbaseny ibada ilikuwa nzuri sana tumefundishwa umoja.
Isaya 41:6-7

Photos from Norbert Hongoli's post 20/06/2026

Siku nyingine kazini Norbert Hongoli nimeteuliwa na Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF kuwa Ofisa Habari wa mchezo wa Nusu Fainali Kombe la Shirikisho (CRDB) Simba Sc vs Coastal Union utakaochezwa uwanja wa Sheikh Amri Abeid leo June 20, 2026 saa 9:30 alasiri.

18/06/2026

Imempendeza Mungu na wanadamu leo nimeteuliwa na bodi ya ligi kuratibu mchezo wa ligi kuu ya Nbc kati ya Fountain Gate Fc dhidi ya Yanga Sc utakaochezwa katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid saa 10:00 jioni,wale wapenzi wa ladha za ligi kuu tukutane uwanjani.

15/06/2026

🚨TRANSFER UPDATE Klabu ya Simba ipo kwenye mpango wa kumsajili mshambuliaji wa Kimataifa kutoka Ivory Coast Junior Dion (27) akitokea Golden Arrows ya Afrika Kusini. Ikumbukwe Sede Dion ndio Mfungaji bora wa wa ligi ya Afrika Kusini PSL akiwa na magoli 14 ,Pia vilabu vya Pyramid na Damac nao wameonyesha nia ya kumuhitaji Sede Dion Jr.

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Arusha?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address

Karatu
Arusha
255