SPORT PLUS CCIB FM+

SPORT PLUS CCIB FM+

Share

Diffusion de l'information sportive

Photos from I7N Media's post 31/08/2021
03/08/2021


Nchi ya Rwanda inajaribu kudhibiti mlipuko wa tatu (3) wa gonjwa la corona (COVID-19).
Katika wiki za hivi karibuni, Rwanda imerikodi kati ya kesi mia tano (500) na elfu moja (1,000) za kila siku, takwimu ambazo hazijawahi kufikiwa.
Hii ilisababisha serekali kutangaza katikati ya mwezi Julai marufuku kwa mara ya tatu (3) ya watu kutotembea tangu kuzuka kwa janga hilo nchini humo.

02/07/2021


Spain 🇪🇸 ✅
Matokeo

SWITZERLAND vs. SPAIN FULL-Time 1-1 [1-3] penalti

11/06/2021


Vital’o FC yapokonywa kocha ghafla.
Club ya Bumamuru FC ya mkoani Cibitoke, yajikuta mikononi mwa aliyekua kocha wa timu ya taifa Intamba Murugamba kocha Alain Olivier Niyungeko. Niyungeko amechukua mikoba mipya na kuiacha club ya Vital’o FC kwenye mataa, ili kuiwezesha club Bumamuru FC katika michuano ya Mabingwa Afrika (CAF) baada ya club hiyo kujipatia ushindi katika fainali za kombe la rais nchini Burundi.
Je, Alain Olivier Niyungeko atakua nalo jipya kwa vijana wa club ya Bumamuru FC?

Photos from Burundi Actu's post 16/02/2021
12/01/2021

Urukino urukino rudasanzwe rugiye guhuza abamenyeshamakuru hamwe n'abacomediens ( vs ) ni kuri uyu wa gatanu igenekerezo rya 15 nzero 2021.



Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Bujumbura?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Website

Address

Kabondo
Bujumbura