K**a umevunjika moyo jaribu kusikiliza haya maneno ๐๐
Issa motivation
Welcome to issa motivation we provide motivation,life advice, sport,and entrainment to inspire and uplift young people and community
30/06/2026
Mtangazaji wa eastafrica radio akiwa ndani ya kipindi cha the planet bongo amedai kwau rapa young lunya mbuzi kuwa ame funikwa na msanii Harmonize kwenye collabo yao ya wimbo wa mkuu wa majeshi.
""nimekuja kugundua kuwa verse la harmonize kali kuliko hata la young lunya lakini pia lunya anakuwa ndo msanii wa kwanza kumfanya harmonize amechana kwasababu harmonize hii ni ngoma yake ya pili yeye kuchana na goma la kwanza ilikuwa ni kwenye remix ya serekali kuu,unajuwa kuna ile ukisikia wimbo wa lunya na msanii mbana pua una elewa kuwa kuna namna hatochana atashika kitikio,lakini kiitikio lunya kashika chorus mwenyewe alafu verse kashika konde mwenyewe na konde ame mkalisha mbuzi"" amesema Rich msafi
Toa maoni yako
30/06/2026
RAIS WA ZIMBABWE ๐ฟ๐ผ Dr Emerson Mnagangwa ametangaza mambo kadhaa kuhusu Raia wa Nchi hiyo wanaorejea Nyumbani kutoka Afrika Kusini.
1- Kwa wenye mitaji ya biashara hawatotozwa Kodi yoyote kuendesha biashara zao katika nchi yao ili kufidia hasara waliyopata.
2- Shule zote nchini humo na taasisi za Elimu ziwapokee Vijana wao wote kwenye mfumo wa Elimu ili waendelee na masomo yao ambao walikuwa wanasoma huko Afrika Kusini.
3- Kwa wanaorejea na hawana Nyumba wala Makazi basi Serikali imeandaa Makazi maalum kwa ajili ya Raia wake hao nchini mwao ili maisha yaendelee.
4- Wameanza mchakato maalum wa Kitaifa kuwatafutia na kuwakutanisha na Ndugu zao kwa waliopotezana.
Zimbabwe ๐ฟ๐ผ tayari imetuma usafiri kurejesha Raia wake wote, Raia wameshasogea eneo la Ubalozi.
27/06/2026
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Address
Hatta
HORALANZDEIRA,ABOUKHERI